Asiyesikia la Mkuu

 

John anajipata matatani kwa kutotilia maanani anayoshauriwa na wavyele wake. Kumbe kila hatia ina madhara yake! Soma hadithi hii ya kuvutia uepukane na majuto. Hiki ni kitabu cha kusisimua kusoma.

 

You can purchase this book on Amazon or IngramSpark